And if you ˹O Prophet˺ see signs of betrayal by a people, respond by openly terminating your treaty with them. Surely Allah does not like those who betray.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na ukiogopa, ewe Mtume, hiana ambayo ishara zake zimejitokeza, kutoka kwa kundi lolote, basi watupilie mbali ahadi yao, ili zote pande mbili ziwe zimelingana kwa kujua kwamba hapana tena mapatano baada ya leo. Hakika Mwenyezi Mungu hawapendi wenye kuenda kinyume na ahadi zao, wavunjaji ahadi na mapatano.