He said, “For leaving me to stray I will lie in ambush for them on Your Straight Path.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Iblisi akasema, Mwenyezi Mungu Amlaani, «Kwa sababu ya kuwa wewe umenipoteza, nitafanya bidii katika kuwapoteza binadamu wawe kando ya njia yako iliyolingana sawa na nitawazuia wao wasiuuandame Uislamu ambao wanasibiana na umbile lao ulilowaumbia.