In fact, they deny the Hour.1 And for the deniers of the Hour, We have prepared a blazing Fire.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na hawakukanusha, kwa kuwa unakula chakula na unaenda sokoni, lakini wameikanusha Siku ya Kiyama na malipo yake yaliyoko. Na tumewatayarishia waliokikanusha Kiyama Moto mkali, watachomwa nao.