We have bound every human’s destiny to their neck.1 And on the Day of Judgment We will bring forth to each ˹person˺ a record which they will find laid open.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na kila binadamu Mwenyezi Mungu Anayajaalia yale anayoyatenda, yawe mema au maovu, ni yenye kuwa na yeye wakati wote, hatahisabiwa kwa matendo ya mtu mwingine, wala mwingine hatahesabiwa kwa matendo yake yeye. Na Mwenyezi Mungu Atamtolea , Siku ya Kiyama, kitabu kilichoandikwa ndani yake yale aliyoyatenda; atakiona kimefunguliwa mbele yake.