But whoever is blind ˹to the truth˺ in this ˹world˺ will be blind in the Hereafter, and ˹even˺ far more astray from the ˹Right˺ Way.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na aliyekuwa kipofu wa moyo, katika ulimwengu huu, wa kutoziona dalili za uweza wa Mwenyezi Mungu, asiyaamini yale aliyokuja nayo Mtume Muhammad, rehema na amani zimshukiye, basi yeye, Siku ya Kiyama, atakuwa kipofu zaidi wa kutoiona njia ya Peponi na atapotea zaidi njia ya uongofu na usawa.