“Peace be upon you for your perseverance. How excellent is the ultimate abode!”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Malaika watawaambia, «Amani iwashukie, yakiwa ni maamkizi yenu peke yenu, na msalimike na kila baya kwa uvumilivu wenu katika kumtii Mwenyezi Mungu. Neema ya nyumba ya mwisho ni Pepo.»