Those who believe and do good, for them will be bliss and an honourable destination.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Wale waliomuamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na wakafanya matendo mema watakuwa na furaha, kipumbazi cha jicho, hali nzuri na marejeo mema kwenye Pepo ya Mwenyezi Mungu na radhi Zake.