There will be no intercessors for them from among their associate-gods, and they will ˹totally˺ deny their associate-gods.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na washirikina , Siku hiyo, hawatokuwa na waombezi kati ya waungu wao waliokuwa wakiwaabudu badala ya Mwenyezi Mungu, bali wao, hao waungu, watajiepusha nao na wao watajiepusha nao. Maombezi ni ya Mwenyezi Mungu Peke Yake, na hayatafutwi kutoka kwa mwingine.