He later said, “I am leaving ˹in obedience˺ to my Lord. He will guide me.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Akasema Ibrāhīm, «Mimi nahamia kwa Mola wangu kutoka kwenye mji wa watu wangu kuelekea pale ambapo nitamakinika kumuabudu Mola wangu, kwani Yeye Atanielekeza kwenye kheri ya Dini yangu na dunia yangu.