And ˹so˺ my heart will be broken and my tongue will be tied. So send Aaron along ˹as a messenger˺.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
na moyo wangu ukaingia kero kwa kunikanusha, na ulimi wangu usiwe na ufasaha wa kulingania. Basi mtume Jibrili aende na wahyi kwa ndugu yangu Hārūn, ili anisaidie na aniamini kwa ninayoyasema, na awafafanulie kile ninachowaambia, kwani yeye ana ufasaha zaidi wa matamshi kuliko mimi.