So they cast down their ropes and staffs, saying, “By Pharaoh’s might, it is we who will surely prevail.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Basi wakatupa kamba zao na fimbo zao, na zikawadhihirikia watu kwenye akili zao kuwa ni nyoka wanaotembea, na wakaapa kwa enzi ya Fir’awn kwa kusema, «Sisi ni wenye kushinda.»