Surely those who recite the Book of Allah, establish prayer, and donate from what We have provided for them—secretly and openly—˹can˺ hope for an exchange that will never fail,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakika ya wale wanaosoma Qur’ani na wakaifanyia kazi, wakaendelea daima kuswali kwa nyakati zake na wakatumia kile tulichowaruzuku miongoni mwa aina ya matumizi ya lazima na ya yanayopendekezwa, kwa siri na kwa dhahiri, hao wana matumaini kwa hayo kufanya biashara isiyoenda na isiyoanguka, nayo ni kuridhiwa na Mola wao na kufaulu kupata malipo mema mengi Yake.