When We show favour to someone, they turn away, acting arrogantly. And when touched with evil, they make endless prayers ˹for good˺.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na tunapomneemesha binadamu kwa afya na riziki au vingineyo, hugeuka na kufanya kiburi kwa kukataa kuifuata haki. Na akipatikana na shida huwa akileta dua ndefu akimuomba Mwenyezi Mungu Amuondolee shida yake; huwa akimjua Mola wake wakati wa shida na hamjui wakati wa neema.