And both sides called for judgment, so every stubborn tyrant was doomed.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Mitume wakaelekea kwa Mola wao wakamuomba Awape ushindi juu ya maadui wao na Ahukumu baina yao, na Yeye Akawakubalia na Akamwangamiza kila mwenye kujiona asiyekubali haki, Asiyeiandama na Asiyetaka kumpwekesha Mwenyezi Mungu na kumtakasia ibada.