Our Lord! Forgive me, my parents, and the believers on the Day when the judgment will come to pass.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
«Ewe Mola wetu! Nisamehe iwapo yametukia kutoka kwangu mambo ambayo binadamu hawasalimiki nayo, na uwasamehe wazazi wangu wawili (Hapa ni kambla haijamfunukia kwamba baba yake ni adui wa Mwenyezi Mungu) na uwasamehe Waumini wote Siku ambayo watu watasimama kuhesabiwa na kulipwa..»