How clearly will they hear and see on the Day they will come to Us! But today the wrongdoers are clearly astray.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Ni makali yalioje yatakuwa masikizi yao na macho yao Siku ya Kiyama, siku watakayokuja kwa Mwenyezi Mungu , wakati ambapo hilo halitawafaa! Lakini madhalimu leo, katika dunia hii, wametoka nje ya haki waziwazi.