And I am concerned about ˹the faith of˺ my relatives after me, since my wife is barren. So grant me, by Your grace, an heir,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
«Na mimi ninaogopa kwamba jamaa zangu wa karibu na wenye kusimama na mimi wasije, baada ya kufa kwangu, wakaacha kuisimamia Dini yako vile inavyotakikana isimamiwe na wakaacha kuwalingania waja wako kuwaleta kwako, na mke wangu ni tasa hazai, basi nitunukie kutoka kwako mtoto awe ni mrithi na msaidizi.