So because of their sins, they were drowned, then admitted into the Fire. And they found none to help them against Allah.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Kwa sababu ya dhambi zao na ukakamavu wao juu ya ukafiri na uasi, walizamishwa kwa mafuriko na wakaingizwa baada ya kuzamishwa kwenye Moto unaowakia sana na kuchoma, na wasimpate, badala ya Mwenyezi Mungu, mwenye kuwaokoa au kuwaepushia adhabu ya Mwenyezi Mungu