Say, “If I am astray, the loss is only mine. And if I am guided, it is ˹only˺ because of what my Lord reveals to me. He is indeed All-Hearing, Ever Near.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Sema, «Nikipotoka nikawa kando na haki, basi dhambi la upotevu wangu liko juu ya nafsi yangu, na nikiwa nitalingana sawa juu ya haki, ni kwa wahyi wa Mwenyezi Mungu Ambao Ananiletea mimi. Hakika Mola wangu ni Msikizi wa ninayowaambia, Yuko karibu na yule anayemlingania na kumuomba.»