If only you could see when they will be horrified with no escape ˹on Judgment Day˺! And they will be seized from a nearby place.1
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na lau ungaliona, ewe Mtume, pindi watakapobabaika wakanushaji pale watakapoishuhudia adhabu ya Mwenyezi Mungu, ungaliona jambo kubwa! Hawatakuwa na uokozi wala makimbilio na watachukuliwa hadi Motoni kutoka mahali karibu pa kutwaliwa.