Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Sad 38:51

38:51
متكيين فيها يدعون فيها بفاكهة كثيرة وشراب ٥١
مُتَّكِـِٔينَ فِيهَا يَدْعُونَ فِيهَا بِفَـٰكِهَةٍۢ كَثِيرَةٍۢ وَشَرَابٍۢ ٥١
مُتَّكِـِٔينَ
فِيهَا
يَدۡعُونَ
فِيهَا
بِفَٰكِهَةٖ
كَثِيرَةٖ
وَشَرَابٖ
٥١
There they will recline, calling for abundant fruit and drink.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
watakuwa ni wenye kutegemea kwenye Pepo hizo juu ya viti vya fahari vilivyopambwa, watataka na kupatiwa kila wanachokitamani miongoni mwa aina nyingi za matunda na vinywaji, kutokana na kila ambacho nafsi zao zitakitamani na macho yao yatapendezwa nacho.