Say, ˹O Prophet,˺ “I do not ask you for any reward for this ˹Quran˺, nor do I pretend to be someone I am not.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Sema, ewe Mtume, uwaambie hawa washirikina miongoni mwa watu wako. «Sitaki kwenu ujira au malipo kwa kuwalingania nyinyi na kuwaongoza, na sidai jambo ambalo si langu, bali mimi nafuata yale ninayoletewa kwa njia ya wahyi, wala sijikalifishi kuleta mambo ya dhana na uzushi.»