Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Ya-Sin 36:39

36:39
والقمر قدرناه منازل حتى عاد كالعرجون القديم ٣٩
وَٱلْقَمَرَ قَدَّرْنَـٰهُ مَنَازِلَ حَتَّىٰ عَادَ كَٱلْعُرْجُونِ ٱلْقَدِيمِ ٣٩
وَٱلۡقَمَرَ
قَدَّرۡنَٰهُ
مَنَازِلَ
حَتَّىٰ
عَادَ
كَٱلۡعُرۡجُونِ
ٱلۡقَدِيمِ
٣٩
As for the moon, We have ordained ˹precise˺ phases for it, until it ends up ˹looking˺ like an old, curved palm stalk.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na mwezi ni alama katika viumbe vyake. Tumeukadiria uwe na njia za kupitia kila usiku. Unaanza ukiwa mwezi mwandamo mdogo sana na unaendelea kuwa mkubwa mpaka ukawa mwezi mkamilifu mviringo, kisha unarudi kuwa mdogo kama karara la mtende lililobeteka kwa wembamba, kuinama na umanjano, kwa sababu ya ukale wake na ukavu.