Still they have taken other gods besides Allah, hoping to be helped ˹by them˺.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na washirikina waliwafanya wasiokuwa Mwenyezi Mungu kuwa ni waungu wakawa wanawaabudu, wakitarajia kuwa watawasaidia na kuwaokoa na adhabu ya Mwenyezi Mungu.