Send him out with us tomorrow so that he may enjoy himself and play. And we will really watch over him.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
«Tuachie awe na sisi kesho tutakapotoka kwenda kwenye malisho ya wanyama wetu, apate kutembea, apumbae, afurahike na acheze kwa kushindana na mfano wake miongoni mwa machezo yanayofaa. Na sisi ni wenye kumtunza na kila unalomuogopea.»