Joseph said, “There is no blame on you today. May Allah forgive you! He is the Most Merciful of the merciful!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Yūsuf akawaamia, «Hamlaumiwi leo; Mwenyezi Mungu Atawasamehe. Na Yeye ni Mwenye huruma zaidi ya wenye huruma kwa anayetubia dhambi zake na akarejea kwenye utiifu Kwake.»