آیا آنها [چیزی] جز همانند روزگار پیشینیان [و عذابها و مجازاتهایشان] را انتظار میکشند؟ بگو: «منتظر باشید كه من [نیز] با شما از منتظرانم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Je, hawa wanangojea isipokuwa hiyo siku watakapoishuhudia adhabu ya Mwenyezi Mungu mfano wa siku za wakale wao waliokanusha waliopita kabla yao? Sema, ewe Mtume, «Ingojeeni adhabu ya Mwenyezi Mungu; hakika mimi ni mwenye kuingojea pamoja na nyinyi kuteswa kwenu.»