Most of them follow nothing but ˹inherited˺ assumptions. ˹And˺ surely assumptions can in no way replace the truth. Allah is indeed All-Knowing of what they do.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wengi wa washirikina hawa hawafuati, katika kuwafanya masanamu ni waungu na kuitakidi kwao kwamba hao masanamu wanawaleta karibu na Mwenyezi Mungu, isipokuwa urongo na dhana, nazo hazifai kitu mbele ya ukweli. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa wanayoyafanya washirikina hawa ya ukafiri na kukanusha.