و برخى از آنها [در ظاهر] به تو گوش فرامىدهند؛ اما مگر تو مىتوانى ناشنوایان را [که از شنیدنِ کلام حق عاجزند] شنوا كنى، هر چند خردورزی نکنند؟
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na miongoni mwa makafiri kuna wanaosikia maneno yako ya kweli na usomaji wako Qur’ani, lakini wao hawaongoki. Je, kwani wewe unaweza kuwasikizisha viziwi? Vilevile, huwezi kuwaongoa hawa isipokuwa Mwenyezi Mungu Atake kuwaongoa, kwa kuwa wao ni viziwi, hawaisikii haki na hawaielewi.