[بدان که] امروز پیکر [بیجانِ] تو را بر بلندی [ساحل] میاندازیم تا برای آیندگانت مایۀ عبرت باشد؛» و به راستی، بسیاری از مردم از نشانههای [توان و تدبیرِ] ما غافلند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Leo tutakujaalia uwe kwenye muinuko wa ardhi kwa mwili wako, akutazame mwenye kukanusha kuangamia kwako, ili uwe ni mazingatio kwa watu wenye kuja baada yako kuwaidhika na wewe. Na hakika wengi zaidi kati ya watu ni wenye kughafilika na hoja zetu na dalili zetu, hawazifikirii wala hawazizingatii.