[یوسف] گفت: «مرا بر [سرپرستىِ] خزانههاى [مالی و غذاییِ این] سرزمین بگمار [كه] بیتردید، من نگهبانى دانا هستم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Yūsuf akataka kuwanufaisha waja na kueneza uadilifu baina yao, alimwambia mfalme, «Nifanye mimi kuwa msimamizi wa hazina za Misri, kwani mimi ni mshika hazina mwaminifu mwenye ujuzi na busara juu ya vitu ninavyosimamia.»