هنگامی که بارهایشان را آماده کرد، جام [پادشاه] را در بارِ برادرش [بنیامین] گذاشت؛ آنگاه ندادهندهای بانگ برآورد [که]: «ای کاروانیان، قطعاً شما دزد هستید».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na alipowatayarishia Yūsuf na akawabebesha chakula ngamia wao, aliwaamuru watumishi wake wakakiweka kile chombo, ambacho alikua akiwapimia nacho watu, kwenye vyombo vya ndugu yake Binyamin kwa namna ambayo asitambue yoyote. Basi walipopanda kwenda zao, aliita mwenye kuita akisema, «Enyi wenye ngamia waliobebeshwa chakula, nyinyi ni wezi!»