هنگامی که بر او وارد شدند، سلام گفتند؛ [اما چون دست به غذا نبردند، ابراهیم] گفت: «ما از شما هراسانیم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Pindi walipoingia kwake na wakamwamkia kwa kusema, «Amani.» Hapo naye akawarudishia maamkizi ya amani. Kisha akwaletea chakula na wao wasikile, na hapo akasema, «Sisi ni wenye kicho na nyinyi.»