همان کسانی كه قرآن را بخش بخش کردند [و آن را شعر، سحر، کذب، و اساطیر نامیدند].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
«Na wao ni wale walioifanya Qur’ani kuwa ni vigawannyo na mafungu.» Kati yao kuna wanaosema, ‘ni uchawi’ na kati yao kuna wanaosema, ‘ni ukuhani’ na kati yao kuna wanaosema yasiyokuwa hayo ili wawazuie watu kufuata uongofu.