[الله] به وسیله آن، كِشت و زیتون و درختان خرما و انگور و همه نوع محصولات [و میوههای دیگر] برایتان مىرویانَد. به راستی که در اینها براى مردمی که میاندیشند نشانهاى [از قدرت پروردگار] است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Anawatolea nyinyi kutoka kwenye ardhi, kwa maji haya mamoja, mazao mbalimbali: Anawatolea nyinyi kwayo mizaituni, mitende na mizabibu, na anawatolea nyinyi kwayo kila aina ya matunda, makubwa kwa madogo. Hakika katika hayo pana ushahidi waziwazi kwa watu wanaofikiri na wakazingatia.