و [آنان فرشتگان را] دخترانی برای الله قرار میدهند ـ او تعالی منزّه است ـ و آنچه را میل دارند [= پسران] برای خودشان [قرار میدهند].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na makafiri wanamsingizia Mwenyezi Mungu kuwa ana watoto wa kike na huwa wakisema, «Malaika ni watoto wa kike wa Mwenyezi Mungu». Ameepukana Mwenyezi Mungu na neno lao. Na wanajichukulia wao wenyewe watoto wa kiume wanaowapenda.