و [یاد کن از] روزی که از هر امتی، گواهی [بر آنان] برمیانگیزیم؛ آنگاه به کسانی که کفر ورزیدند نه اجازۀ [سخن گفتن] داده میشود و نه از آنان خواسته میشود که پوزش بخواهند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wakumbushe, ewe Mtume, yale yatakayokuwa Siku ya Kiyama, tutakapowaletea kila kundi la watu Mtume wao akitolea ushahidi Imani ya walioamini miongoni mwao na ukanushaji wa wenye kukanusha. Kisha hao waliokanusha hawatapewa nafasi ya kuomba msamaha kwa waliyoyafanya, na hawatatakiwa kumridhisha Mola wao kwa kutubia na kufanya matendo mema, kwani wakati wa hilo ushapita.