و هر گاه بخواهیم [مردم] شهری را نابود کنیم، [نخست] به ثروتمندانِ سرکشِ آنجا فرمان [اطاعت از الله و پیروی از پیامبران را] میدهیم، سپس وقتی در آنجا به فساد [و مخالفت] برخاستند، وعده[ی عذاب الهی بر] آنجا محقق میگردد؛ آنگاه آنجا را به شدت در هم میکوبیم [و ساکنانش را از بین میبریم].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na tukitaka kuwaangamiza watu wa mji kwa udhalimu wao, tunawaamrisha wenye gogi wao wamtii Mwenyezi Mungu, wampwekeshe na wawaamini Mitume Wake, na wasokuwa wao wako nyuma yao kwa kuwafuata, wakaasi amri ya Mola wao na wakawakanusha Mitume Wake, hapo likapasa juu yao neno la adhabu ambalo hakuna namna ya kurudishwa, na tukawamaliza kwa maangamivu yaliyotimia.