و چه بسیار نسلهایی را که پس از نوح [زندگی میکردند] هلاک کردیم و [همین] کافی است که پروردگارت از گناهان بندگانش آگاه [و نسبت به آنان] بیناست.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na ni wengi tuliowaangamiza miongoni mwa watu waliokanusha Mitume wao baada ya Nabii wa Mwenyezi Mungu, Nūḥ. Na inatosha kwamba Mola wako, ewe Mtume, ni Mjuzi wa matendo yote ya waja Wake, hakifichamani Kwake chochote chenye kufichamana.