نماز را از زوال خورشید [= هنگام ظهر] تا نهایت تاریکی شب [= نیمه شب] برپا دار و [به ویژه] نماز صبح را. به راستی که نماز صبح [و تلاوت قرآن در این وقت،] مورد مشاهده [و در حضورِ فرشتگانِ روز و شب] است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Simamisha Swala itimie kuanzia kipindi cha kupinduka jua wakati wa mchana mpaka kipindi cha usiku. Inaingia hapa Swala ya Adhuhuri, Alasiri, Magharibi na Isha. Na simamisha Swala ya Alfajiri na urefushe kisomo chake, kwani Swala ya Alfajiri inahudhuriwa na Malaika wa usiku na Malaika wa mchana.