و [ای پیامبر،] پاسی از شب را [از خواب] برخیز و نماز بگزار. قطعاً [این نماز شب،] برای افزونی مقام و مرتبۀ توست [تا درجاتت را برتری بخشد]. امید است پروردگارت تو را به مقامی در خور ستایشِ [همگان] برانگیزد! [= مقام شفاعت کبری را به تو عطا فرماید].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na inuka, ewe Nabii, kutoka kwenye usingizi sehemu ya usiku, usome Qur’ani katika Swala ya usiku, ipate kuwa, hiyo Swala ya usiku, ni nyongeza kwako katika utukufu wa cheo na kupandishiwa daraja. Huenda Mwenyezi Mungu Akakuleta uwe ni mwenye kuwashufaia watu Siku ya Kiyama, ili Mwenyezi Mungu Awarehemu kwa kuwaondolea waliokuwa nayo, na usimame kisimamo ambacho watakushukuru kwacho wa mwanzo na wa mwisho.