[ای پیامبر،] بگو: «اگر در زمین [به جای انسان،] فرشتگانی بودند که [همچون شما] با آرامش راه میرفتند، قطعاً از آسمان فرشتهای را [از جنس خودشان به عنوان] پیامبر بر آنان نازل میکردیم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Waambie, ewe Muhammad, ukiwarudi washirikina kule kukanusha kwao kuwa Mtume ni miongoni mwa wanadamu, «Lau juu ya hii ardhi kulikuwa na Malaika wanatembea kwa kujituliza, tungaliwapelekea mtume miongoni mwa jinsi yao,» lakini watu wa ardhi ni wanadamu, basi mtume wa kupelekewa inatakiwa awe ni miongoni mwa jinsi yao, ili iwezekane kwao kuzungumza naye na kufahamu maneno yake.