بگو: «کافی است که الله میان من و شما گواه باشد. بیتردید، او همواره [نسبت] به بندگانش آگاه [و] بیناست».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Waambie, «Inatosha kuwa Mwenyezi Mungu ni shahidi baina yangu mimi na nyinyi juu ya ukweli wangu na uhakika wa unabii wangu. Hakika Yeye, kutakata na sifa za upungufu ni Kwake, ni Mtambuzi wa hali za waja Wake ni Muoni wa matendo yao, na Atawalipa kwa hayo.»