مگر اینکه [بگویی:] «ان شاء الله»؛ و هر گاه فراموش کردی، [با گفتن این لفظ] پروردگارت را یاد کن و بگو: «امیدوارم پروردگارم مرا به راهی رهنمون گردد که از این [راه]، به هدایت [و صلاح] نزدیکتر باشد».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Isipokuwa ufungamanishe neno lako na matakwa ya Mwenyezi Mungu na useme, «Mwenyezi Mungu Atakapo.» Na mkumbuke Mola wako unaposahau kwa kusema, «Mwenyezi Mungu Atakapo.» Na kila unaposahau, mtaje Mwenyezi Mungu, kwani kumtaja Mwenyezi Mungu huondosha kusahau, na useme, «Matarajio ni kwamba Mola wangu Aniongoze njia ya karibu zaidi yenye kufikisha kwenye uongofu na ya sawa.