و [ای پیامبر،] از کتاب پروردگارت آنچه را به تو وحی شده است تلاوت کن. هیچ کس تغییردهندۀ سخنان او [= الله] نیست و هرگز پناهگاهی جز او نمییابی.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na usome Qur’ani, ewe Mtume, ambayo Mwenyezi Mungu Amekuletea wahyi nayo, kwani hiyo Qur’ani ni Kitabu ambacho hakuna mwenye kuyageuza maneno yake kwa kuwa ni ya kweli na ya uadilifu, na hutapata isipokuwa kwa Mola wako mahala pa wewe kuhamia wala pa kujilinda.