و [یاد کن از] روزی که الله [به مشرکان] میفرماید: «شریکانی را که برای من میپنداشتید، فرابخوانید [تا شما را از عذاب برهانند]؛ آنها را میخوانند، ولی پاسخشان را نمیدهند؛ و ما در میان این دو گروه، مهلکهای [از آتشِ دوزخ] قرار دادهایم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wakumbushe pindi Atakaposema Mwenyezi Mungu kuwaambia washirikina Siku ya Kiyama, «Waiteni washirika wangu ambao mlikuwa mnadai kwamba wao ni washirika wangu katika ibada, wapate kuwaokoa na mimi leo.» Hapo wakaomba uokozi wao, na wao wasiwaokoe, na tukaweka baina ya wenye kuabudu na waabudiwa kitu cha kuwaangamiza katika moto wa Jahanamu wawe wote ni wenye kuangamia humo.