[زکریا] گفت: «پروردگارا، نشانهای [بر تحققِ این بشارت] برایم قرار بده». [الله] فرمود: «نشانۀ تو این است که سه شبانه [روز] در حالی که سالم [و تندرست] هستی، با مردم سخن نمیگویی».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Zakariyyā akasema kutaka kujituliza zaidi, «Mola wangu! Nipe alama ya kwamba kile ambacho Malaika wamenibashiria nacho kishapatikana.» Akasema, «Alama yako ni kutoweza kusema na watu kwa muda wa masiku matatu na michana yake na hali wewe ni mzima mwenye afya.»