[هرگز] سزاوار نیست که الله [برای خویش] فرزندی بگیرد. او [پاک و] منزّه است. [الله] هر گاه کاری را اراده کند، فقط به آن میگوید: «موجود شو»؛ آنگاه [بیدرنگ] موجود میشود.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Haikuwa kwa Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, wala hainasibiani na Yeye kujichukulia mtoto miongoni mwa waja wake na viumbe vyake, Ameepukana na kutakasika na hilo; Akiamua jambo lolote, miongoni mwa mambo, na Akalitaka liwe, dogo au kubwa, halimkatalii, kwa hakika Yeye Analiambia, «Kuwa» na likawa kama alivyolitaka liwe.