آن روز که نزد ما میآیند، چه [خوب] شنوا و بینا هستند! اما امروز [در زندگی دنیا] ستمکاران در گمراهیِ آشکارند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Ni makali yalioje yatakuwa masikizi yao na macho yao Siku ya Kiyama, siku watakayokuja kwa Mwenyezi Mungu , wakati ambapo hilo halitawafaa! Lakini madhalimu leo, katika dunia hii, wametoka nje ya haki waziwazi.