چنین نیست؛ [بلکه آن معبودها در قیامت] عبادت آنان را انکار خواهند کرد و دشمنشان خواهند بود.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Mambo sivyo kama wanavyodai. Hawa waungu hawatakuwa ni nguvu kwao, lakini waungu hawa watawaruka huko Akhera kuwa waliwaabudu wao na watakuwa ni wenye kusaidia katika kuteta na wao na kuwakanusha , kinyume na vile walivyodhania juu yao.